
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akihutubia kwenye uzinduzi wa jengo jipya la Benki Kuu ya Tanzania jijini Mwanza, aliitaka kujiandaa na matumizi ya sarafu za mtandaoni (Cryptocurrency) kauli ambayo imepokelewa kwa furaha na wadau wake. Nazungumza na John Jockson pamoja n Gideon Odiki kuhusiana na hatua hiyo
source
Hamjui lecture mnambwela tu,,tunataka KUJUA cyptocurency Nini?? Bitcoin NI Nini??brokchain Nini Nini?? Naanzaje kufanya hiyo ?? Sasa mnapiga romoniiiii
Pse contact me I need to know how to do it by Mpesa au airtel money
Mashaallah darsa nzuri sana
Habari kaka
Mbona mkipigiwa simu hamupokei
Ni interview tu wanaongea lakini ukiwatafuta kwa akaunti zao hawajibu tena kiustarabu tu ukiwauliza kuhusu bitcoin hasa huyo john jackson haina haja wao kutoa namba au kaunti zao ikiwa ukiwatafuta ili ujue progrmu za bitcoin hawajibu
Kuna namna sky anaweka industry ya habari music kiutofauti,i think wengine kuna kitu wanatakiwa waoge. THANK YOU ALL BROTHERS
Thank you so much sns for an enlightening interview.
John Jackson, Gidi and sky be blessed men.
Hakuna wachokijuwa
Nimejaribu forex na nimepigwa hela zote.Najuta kucheza michezo ya kubahatisha na ya kitapeli.
Hiyo ni kamari tu.unanunua Bitcoin 19000/- halafu unauza 3000/- hasara 16000/-.hatima yake ni kufilisika tu.Wanaigeria ndio matapeli wakubwa afadhali ya wacongo
Crytopcurrency iko poa sana
Cr
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Mama Samia naomba utufungulie PayPal watu tuishi
YANI SIJAELEWA CHOCHOTE HAPA. YANI SIJAJUA CRYPTOCURRENCY NI KITU GANI, NA SIJAJUA UFANYAJI WAKE KAZI.
Interesting
Tutengeneze Coin yetu tuiite SARAFU
Kweli block chain muhimu kwanza kwa tz
Wekeza kwenye biashara uliyoilewa mzunguko wake, hakikisha kuna usalama wa fedha yako, yaani kwamba endapo kukitokea shida kwenye uwekezaji wako unamuona nani? Mfano ukinunua hatifungani bank unajua moja kwa moja bank wanawajibika. Je wana makazi yanayojulikana( physical location)? Je wanalipa kodi? Je wamesajiliwa rasmi na mamlaka husika za kiserikali?
Hata hivyo, tukumbuke kupiga kazi
Hapo sky hujaelewa kabisa. Hawa majamaa wanajua Ila tu hawajui ku explain
Pesa inapatikanaje ? Hapo ndio utajua mnaingizwa chaka. Rudia hii video hata x 100 hawatakufafanulia ni vp utapata pesa. Watakuzungusha na misemo mingi na mifano tu lakini hawana majibu. Ni Matapeli hawa. Bundala waombe watu radhi kwa kuwatangazisha hawa watu katika Online tv yako. 😃😃😃😃😃
Bundala umeamua kuwaleta hawa jamaa hapa ambao ni hatari. …
Hata huyo Bundala hapo hajaelewa kitu ila amewekewa imani fulani kuwa atakuja kuelewa.
Haieleweki na haitokaa ieleweke kwani hii ni taasisi ya …. 😂 ni ujanja ujanja fulani hivi wa kuongea harakaharaka na kutupia vijineno vya kiingereza halafu unawachwa kiaina kama umeelewa kumbe hujaelewa chochote. Hapa ni mjini.
.
In my opinion cryptocurrency is absolute bull shit you gon loose alot of money before you start earning money
We need more content like this japo hakutakuwa na views wengi
Hapo katika faida mmeongelea habari za kusafiri na kuingia sehemu ambazo hamjaingia, sasa hizo ni personal, tunataka faida ambazo anaweza pata kila mtu. Kuhusu kufundisha sio kila mtu atafundisha. Hiyo 30 mpaka 8000 je ni yauhakika au bahati na sibu?… Nashauri kabla ya kujiunga hakikisha unajua ukweli na unaelimu. Watu wanapigia sana promo kuliko kusema ukweli… hasara zipo nyingi ila hamjaziongelea kwa ukubwa wake ili watu wachukue tahadhari.
Sky nisaidie namba ya gid please
This is so eye-opening…..we need more contents like this…learning from our own very brothers is easier because the conversations are candid. Thank You @Fredrick Bundala for this…#ijumaayenyemwangaza
I appreciate you brooz 🚀🚀🚀 crypto is much good
Hawa jamaa wako vizuri sana
Fred upo vixur
We Jana unani inspire
Broh ombi langu kwako ni mualike mwalim wa cryptocurrency atuelekeze vividly on how exactly we could invest on cryptocurrency
Next time mtuletee na jinsi watu wanavyopiga ela kwenye KUBET maanaa watu wanatajirika Sana mitaani ili vijana waweze kuitumia Kama fursa 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahah eti kwa level ya serikari wangebase kwenye blockchain kwanza, uo Ni ujanja ujanja wanaleta, crypto currency (eg Bitcoin) Iz like app ndani ya blockchain but imepata umaarufu zaidi na Sasa ndo inaangaziwa zaidi duniani Sasa anavyosema BOT isiiangazie zaidi ni upuuzi mtupu! kwa Sasa hapa nchini mtu ukipigwa katika io biashara hakuna mahali pakwenda
Bro sky naomba msaada nipate namba yako ili nilielewe vyema swala hili nashindwa kulifanya vyema kwa kukosa uelewa
Somo.gumu sana mnaloongea hapo
The coin he is talking about is Dogecoin
Bitcoin
Ethereum
Cardano
Dogecoin
Shiba Inu
these are very promising Coins. Chukua hela kidogo and invest here
Sky mimi natumia send wave.sijawahi kuuliza wanakatwaga sh ngapi huko.
Cryptocurrency is the future. Invest now and youll never regret
AMazing videos great content. thanks A lot i always apprecite your videos.. It’s a must to build multiple streams of income especially in this period of the pandemic. Also, have in mind we don’t know if or when another pandemic can happen again. So now is really the best time to start pushing in, no one can fire you from your own business and well your we all know how quick they can get rid of you. If you have to work to pay bills by all means do what you have to do but make sure you get your priorities together. I've been doing that by investing in the stocks, bitcoin and financial market and I'm grateful to say I've earned a lot so far working with Mr NOLASCO KANIEL's. through his registered investment. During my first 5 weeks I was able to grow my portfolio from 1.1btc to 9.2btc which no doubt you will agree is a very good profits. Just do something that will make you money while you sleep, no matter how little. The pandemic has been a perfect eye-opener for us all to really see how life can be without your usual income stream. Reach him via telegram @Kanielnolasco12 lets make the best of whatever we can.
hii video haitakuwa na views nyingi maana watu wengi hawataielewa
Cryptocurrency ni pesa kubwa sana
dahh jmn leo nimewai..nipeni like zangu 🤣🤣…love sns